Wananchi wa mitaa ya Mji wa Chakechake kisiwani wa Pemba wakiwa katika harakati za kujipatia mahitaji yao katika marikiti kuu ya chakechake na baadhi ya wafanyabiashara ya samaki hufanya biashara hiyo katika eneo la kuingia na kutokea gari za abiria katika marikiti hiyo na kuwa kero kwa madereva wakati wa kutoka baada ya kupakia abiri kuaza safari zao.
TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imethibitisha kuendelea
kulisaidia Bonde la Mto Nile, ikisisitiza kuwa Tanzania inatambua thamani
kubwa ya ra...
5 hours ago

0 Comments