Wananchi wa mitaa ya Mji wa Chakechake kisiwani wa Pemba wakiwa katika harakati za kujipatia mahitaji yao katika marikiti kuu ya chakechake na baadhi ya wafanyabiashara ya samaki hufanya biashara hiyo katika eneo la kuingia na kutokea gari za abiria katika marikiti hiyo na kuwa kero kwa madereva wakati wa kutoka baada ya kupakia abiri kuaza safari zao.
NEMC KUADHIMISHA SIKU YA “TAKA SIFURI”, YAHAMASISHA TAKA KUWA FURSA YA
KIUCHUMI
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), kwa
kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ...
47 minutes ago

0 Comments