SHEHA wa shehia ya Makoongwe Wilaya ya Mkoani Silima
Hija Hassan, akimkaguza mwandishi wa habari wa shirika la magazeti la Serikali
Zanzibar leo Pemba, Haji Nassor Mohamed eneo ambalo wananchi wamevamia na
kuchimba mchanga kinyume na sheria.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
SERIKALI YAHIMIZA MATUMIZI YA VYAKULA VYA ASILI KUIMARISHA AFYA NA KUZUIA
MAGONJWA
-
Na Elimu ya Afya kwa Umma
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imewahimiza Watanzania kurejea katika
matumizi ya vyakula vya asili kama sehemu muhimu ya kuje...
5 hours ago
0 Comments