SHEHA wa shehia ya Makoongwe Wilaya ya Mkoani Silima
Hija Hassan, akimkaguza mwandishi wa habari wa shirika la magazeti la Serikali
Zanzibar leo Pemba, Haji Nassor Mohamed eneo ambalo wananchi wamevamia na
kuchimba mchanga kinyume na sheria.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
SERIKALI KUIFUNGUA PEMBA KIUTALII
-
Na. Mwandishi wetu, Pemba
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania, Mh. Hamad Hassan Chande (Mb),
amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanz...
2 hours ago
0 Comments