Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said akichangia Hutuba ya Bajeti ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Sheria Katiba Utumishi wa Umma na Utawala Bora, leo baada ya kusomwa na Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Haroun Ali Suleiman, katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar.
SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH –
MISANGA
-
Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia
mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa
pamoja ka...
7 hours ago
0 Comments