Wanafunzi wa Skuli na Vyuo Vikuu Zanzibar wakiwa katika bustani za Weles Unguja wakiwa katika makundi wakijisomea kwa pamoja kujiandaa na mitihani yao.Kama walivyokutwa katika bustani hiyo wakiwa katika harakati hizo leo.
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA KASI YA USAMBAZAJI UMEME VITONGOJI 15 KILA JIMBO
-
Na Mwandishi Wetu
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya
Nishati kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kasi ya utekeleza...
11 minutes ago
0 Comments