Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC) tayari kufungua Mkutano wa Kimataifa unaohusu masuala ya Jinsia na Mahakama Afrika ulioandaliwa na Mahakama ya Tanzania kwa kushirikiana na Benki ya Dunia, wengine pichani kulia ni Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamis Juma,Waziri wa Sheria Dkt. Palamagamba Kabudi pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo.
Jokate Mwegelo asifu mchango wa hospitali ya Kairuki
-
Na Mwandishi Wetu
WANAWAKE watatu wamebahatika kupata fursa ya kupandikiza mimba bure katika
kituo cha kupandikiza mimba cha Kairuki Green IVF (KGIVF), Kil...
43 minutes ago

0 Comments