Mfanyabiashara katika Soko Kuu la Mwanakwerekwe Zanzibar akiwa katika harakati za kupanga mafungu ya viazi vitamu na majimbo katika Soko la Mwanakwerekwe, kama alivyokutwa na mpiga picha wetu akiwa katika harakati hiyo, fugu moja anauza kati ya shilingi 2000/= na 5000/=.
MHE. MILLYA ATEMBELEA KITUO CHA UTOAJI HUDUMA KWA PAMOJA CHA NAMANGA
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki
Mhe. James Kinyasi Millya (Mb.) ametembelea Kituo cha Utoaji Huduma kwa
Pamoja Mp...
1 hour ago
0 Comments