Alama ya Barabarani ikiwa imewekwa katika eneo la barabara ya kwalinatu kuelekea miembeni jirani na makutano ya barabara ya kariakoo Uwanja wa Watoto, Ikionesha alama ya Zebra na Picha ya Mtu ameshika muavuli akivuka barabara. Wananchi wengi wakijuulisha Alama hii inaashiria nini ikizingatiwa katika eneo hilo hakuna mchoro wowote wa kuonesha kuna sehemu ya kuvuka Watu kwa kutumia miguu.
SHULE ZOTE ZA SERIKALI KUFIKIWA NA VITABU KABLA HAZIJAFUNGULIWA
-
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt. Aneth Komba
amesema, TET imejipanga kuhakikisha shule zote za Serikali zinafikiwa na
vitabu kabla h...
43 minutes ago
0 Comments