Wachezaji wa Timu ya Simba wakiwa katika mazoezi makali ya kujiandaa na Ligi Kuu ya Tanzania inayotarajiwa kuaza mwezi ujao. Wakiwa Nchini Uturuki kwa maandalizi ya Ligi hiyo.
TARI Naliendele yashauri wakulima wa korosho kufuata hatua hizi kuleta tija
uzalishaji wa korosho nchini
-
Na Anne Robi, Mtwara
WATAALAMU wa kilimo cha korosho nchini wamewaasa wakulima kuanza kuandaa
mashamba yao kwa kufuata hatua kuu tatu na muhimu katika kul...
2 hours ago
0 Comments