Muonekano wa Bustani ya Forodhani wakati wa usiku kwa Wageni na Wananchi wa Zanzibar wanaofika katika bustani hizo kwa kupata viburudisho vya Aina mbalimbali vynye asili ya Zanzibar na asili ya bahari.
RC Malima Awaomba Ndugu Kujitokeza Kutambua Miili ya Waathirika wa Ajali ya
Maseyu
-
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, amewataka wananchi waliokuwa
wakitarajia kuwapokea ndugu zao waliokuwa wakisafiri kutoka Mkoa wa
Morogoro Desemba ...
1 hour ago
0 Comments