Mkuu wa Zantel Zanzibar, Mohamed Khamis Baucha (kushoto) akiongea wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa Promosheni ya Ni Jero Yako Tu jana. Kulia ni Rukia Mtingwa, Meneja Mawasiliano wa Zantel Tanzania.
Mtoto wa miaka 12 ajinyonga baada ya kukemewa Morogoro
-
Mtoto mwenye umri wa miaka 12, Rajabu Ally Mohammed, mkazi wa Ijava
wilayani Gairo mkoani Morogoro, amefariki dunia kwa kujinyonga baada ya
kukemewa na...
31 minutes ago
0 Comments