Tunawakumbusha wale wote wanao taka kushirik katika mkutano wa biashara na uwekezaji katika sekta ya utali uitwao zanzibar beautification summit utakao fanyika trh 16_20/8/2018 golden tulip hotel znz,..trh ya mwisho kwa washirik tareh 6/8/2018.kwa usajili pia wanafunz wa vio vikuu nk wanakaribishwa kwa offa malum kwa maelezo zaid piga no hii +255657147887 au +2556522154845. Newvisionconsortiumtrainers@gmail. Com karibun sana.utalii kwa wote .
DKT. CHAYA: UWEKEZAJI WA VIWANDA NI NGUZO YA AJIRA, MASOKO YA WAKULIMA NA
UCHUMI WA TAIFA
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Jambo Group of Companies, Mhe. Salum Khamis akieleza
hatua za uzalishaji pamoja na uwekezaji uliofanyika kiwandani.
Mkurugenzi wa K...
58 minutes ago

0 Comments