Muonekano wa Viwanja Vya maMao Zanzibar baada ya kukamilika Ujenzi wake ukiwa na viwanja vya ndani na viwili vya mpira wa miguu vimekamilika ujenzi huo na kwa sasa iliobaki na hatua za umaliziaji wa maeneo na kufanya usafi ili kuweza kufikia tamati ya ujenzi huo uliofanya na Kampuni kutoka China.
PSPTB YATANGAZA MATOKEO YA MITIHANI YA 32, 595 WAMEFAULU, 2 WAMEKAMATWA KWA
UDANGANYIFU.
-
Na Mwandishi wetu Dodoma.
Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) iliyoanzishwa mwaka 2007 kwa
Sheria ya Bunge Namba 23 ikiwa na Jukumu la kusimamia...
8 minutes ago
0 Comments