Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mdhamini wa Maulidi ya Mfungo Sita. Sheikh Sherali Champsi, alipowasili katika viwanja vya Maisara Suleiman kuhudhuria Sherehe za Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad(S.A.W) yaliofanyika jana usiku 19-11-2018, kaitika viwanja hivyo.
Mary Chatanda kuongoza kongamano la CCM China kwa njia mtandao
-
Na: Mwandishi Wetu
Wanachama wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), tawi la China (Diaspora),
limeandaa Kongamano la Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 k...
2 minutes ago
0 Comments