Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mdhamini wa Maulidi ya Mfungo Sita. Sheikh Sherali Champsi, alipowasili katika viwanja vya Maisara Suleiman kuhudhuria Sherehe za Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad(S.A.W) yaliofanyika jana usiku 19-11-2018, kaitika viwanja hivyo.
WANANCHI KIJIJI CHA LAJA WILAYANI KARATU WAISHUKURU TASAF UJENZI SEKONDARI
MPYA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Karatu
WANANCHI Kijiji cha Laja katika Halmashauri ya Wilaya ya Karatu mkoani
Arusha wameishukuru TASAF kukubali Mradi wa kupu...
3 hours ago
0 Comments