Muonekano wa Marikiti Kuu Darajani wakati wa Usiku leo kama inavyoonekana picha wakati huu wananchi wakiwa katika harakati za kujipatia mahitaji yao kwa matumizi ya nyumbani. Wananchi wa Mji wa Zanzibar hufika katika marikiti hii kupata majitaji yao wakati wa Soko la Jioni.
KAMATI YA BUNGE YA SHERIA YATEMBELEA KONGANI YA BUZWAGI NA KUPONGEZA
BARRICK KWA KUFUNGA MGODI KITAALAMU
-
Wabunge kutoka Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria
wakitembelea maeneo mbalimbali walipofanya ziara ya kikazi ya kujionea
maendeleo ya ...
1 hour ago
0 Comments