Muonekano wa Marikiti Kuu Darajani wakati wa Usiku leo kama inavyoonekana picha wakati huu wananchi wakiwa katika harakati za kujipatia mahitaji yao kwa matumizi ya nyumbani. Wananchi wa Mji wa Zanzibar hufika katika marikiti hii kupata majitaji yao wakati wa Soko la Jioni.
DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KAMPASI YA LINDI YA UDSM
-
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa
Kampasi ya Lindi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika eneo la Ngongo
mkoani Lindi na...
22 minutes ago
0 Comments