Wananchi wakiangali gari iliopata ajali katika barabara ya Kariakoo na kuacha njia na kugonga ukuta wa Uwanja wa Kufurahia Watoto Kariakoo Zanzibar, na kubomoa sehemu ya ukuta huo.Na gari hiyo kupata hasara kubwa.
MIAKA 25 YA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA IMEBORESHA UTUMISHI WA UMMA
NCHINI – MWAIPAYA
-
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdallah Mwaipaya, aliyemwakilisha Mkuu wa
Mkoa wa Mtwara, amesema hayo wakati wa hafla ya kuhitimisha mbio za
Utumishi M...
12 minutes ago






0 Comments