Mshambuliaji wa Timu ya Simba akijaribu kuwapita mabeki wa Timu ya KMKM katika mchezo wa Kuwania Kombe la Mapinduzi Cup uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar,jana usiku Timu ya Simba imeshinda mchezo huo.
FURAHA YATANDA KWA KINAMAMA WA JAI BAADA YA RAMADHANI CHARITY PROGRAM KUTOA
IFTAR
-
Furaha imetanda kwa kinamama wa taasisi ya JAI baada ya kupokea sadaka ya
Iftar kutoka kwa taasisi ya Ramadhani Charity Program 2026, ikiwa ni sehemu
ya ...
25 minutes ago
0 Comments