Muonekano wa Mradi wa Mnara wa Tangi la Maji Safi na Salama Kilimani Mnara wa Mbao linalojengwa kwa kiwango cha kisasa na Kampuni ya Kichina ya Stecol, lililowekwa jiwe la msingi leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Wilaya ya Mjini Unguja leo.
SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WA DINI-DKT. MWIGULU
-
-Asema lengo ni kujenga Taifa lenye hofu ya Mungu, upendo, haki na
uwajibikaji
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 18, 2026 ameshiriki Ibada...
3 hours ago
0 Comments