Muonekano wa Mradi wa Mnara wa Tangi la Maji Safi na Salama Kilimani Mnara wa Mbao linalojengwa kwa kiwango cha kisasa na Kampuni ya Kichina ya Stecol, lililowekwa jiwe la msingi leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Wilaya ya Mjini Unguja leo.
UPATIKANAJI WA DAWA WAIMARIKA NCHINI
-
OWM-TAMISEMI
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(OWM– TAMISEMI) anayeshughulikia masuala ya Afya, Mhe. Dkt. Jafari ...
38 minutes ago
0 Comments