Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Seneti ya Burundi, Mhe. Reverien Ndikuriyo kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu, jijini Dodoma,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Rais wa Seneti ya Burundi, Mhe. Reverien Ndikuriyo, ofisini kwa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 3, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
TBS YAHIMIZA MATUMIZI SALAMA YA POMBE NCHINI
-
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa elimu kwa wananchi wa Mkoa wa
Dodoma kuhusu madhara ya matumizi holela ya pombe, likilenga kuzuia athari
za kiafy...
36 minutes ago
0 Comments