Daraja la barabara ya kibonde mzungu likiwa katika hatua za mwisho ya ujenzi huo baada ya kukamilika kwa kiasi kikubwa na kwa sasa ikiwa katika hatua za kuweka vidaraja vya ukindo wa barabara hiyo na kuaza kutumika kwa magari yanayoelekea katika Mkoa wa Kusini Ungyuja na kupita bila tabu, kama linavyoonekana pichani hali halisi ya daraja hilo. Siku za nyuma kipindi cha mvua za masika eneo hili hujaa maji na kuleta maafa na kukosa kupitika kutokana na kujaa maji hadi juu ya barabara hiyo ilioyopita katika daraja hilo.
Akiba Commercial Bank Donates Medical Items to Mwananyamala Government
Hospital During Festive Season
-
Dar es Salaam, 22/12/2025
Akiba Commercial Bank Plc (ACB) today donated essential medical items to
Mwananyamala Government Hospital as part of its end-...
4 hours ago
0 Comments