Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Visiwani Zanzibar akitowa Elimu kwa Wanafunzi wa Madrasa ya Kwabiziredi Unguja, jinsi ya kutumia Taa za kuongozea gari na watembea kwa miguu wakati wakitumia barabara hiyo wakati wa kukatisha barabara.Kama alivyokutwa na Kamera yetu ya Blog ya zanzinews.com, katika eneo hilo wakipata Elimu hiyo kupitia Jeshi la Polisi Usalama Barabarani Zanzibar.
Mfumo Mpya wa Kodi Kuleta Mapinduzi Makubwa ya Ukusanyaji wa Mapato Nchini.
-
Na Mwandishi Wetu
Hatua kubwa ya mageuzi ya kodi nchini imefikiwa kufuatia tangazo la kuanza
kutumika kwa mfumo mpya wa ukusanyaji wa kodi za ndani, hatua...
5 hours ago
0 Comments