Mamlaka ya Mawasiliani Tanzania Yatowa Elimu ya Matumizi ya Mitando kwa Watu wenye Ulemavu Visiwani Zanzibar, mafunzo hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Mkutano wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar, kama wanavyoonekana pichani wakifuatilia mafunzo hayo wakipitia makabrasha ya TCRA wakati wa mafunzo hayo.
WIZARA YA AFYA YASIKITISHWA NA WANAOTAPELI KWA JINA LA MCHENGERWA
-
WIZARA ya Afya imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu wenye nia ovu
ambao wamekuwa wakitumia jina la Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Omary
Mchengerwa ku...
16 hours ago
0 Comments