Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako akizungumza wakati wa hafla ya Siku ya Elimu iliyoambatana na utoaji tuzo kwa Wanafunzi Bora wa Darasa la Saba, Kidato cha Nne na Kidato cha Sita kwa Mwaka 2018 leo jijini Dodoma. Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Wasichana Msalato na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu.
WATUMISHI WAPYA TASAC WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania- TASAC Bw. Mohamed
Salum leo tarehe 16 Januari, 2026 amehitimisha rasmi mafunzo kwa watumisi
wapy...
39 minutes ago
0 Comments