6/recent/ticker-posts

Kikosi cha Timu ya Malindi Kinachoshiriki Kombe la Shirikisho Wakijiandaa na Mchezo Huo Unaofanyika Jioni Hii na Timu ya MCC Kutoka Nchini Somali.

Wachezaji wa Timu ya Malindi Wanaoshiki Kombe la Washindi wakipasha misuli kabla ya kucheza mchezo wao wa Awali wa Kombe wa Shirikisho Dhidi ya Timu ya MCC kutoka Nchini Somali unaofanyika jioni hii katika Uwanja wa Amaan Zanzibar. 





Post a Comment

0 Comments