Msafara wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Alhajj Ali Mohamed Shein ukiwasili katika Viwanja Vya Langoni Wilaya ya Magharibi "A" Unguja kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj Kitaifa limefanyika katika Wilaya ya Magharibi "A" Unguja leo na kuhudhuriwa na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Dkt. Amani Karume na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi.
Dar City, Fox Divas watwaa ubingwa wa betPawa NBL 2025
-
Na Mwandishi wetu
Timu ya Dar City kwa upande wa wanaume na Fox Divas kwa upande wa wanawake
zimetwaa ubingwa wa mashindano ya klabu bingwa ya mpira wa k...
5 hours ago
0 Comments