Watoto kutoka sehemu mbalimbali wakifurahia na kusherehekea Sikukuu ya Eid El Hajj katika ufukwe wa Bahari ya Forodhani Zanzibar kwa michezo mbalimbali na kuogelea kama walivyokutwa na Mpiga picha wetu wakiwa katika ufukwe huo wakati wa jioni.
TAFORI YAONGOZA HATUA ZA UANZISHWAJI WA JUKWAA LA WADAU WA UYOGA TANZANIA
-
Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) kwa kushirikiana na Shirika
la ADAP (Association for the Development of Protected Areas) imeongoza
hatua z...
25 minutes ago
0 Comments