Muenekano la daraja la kibondemzungu barabara ya fuoni baada kukamilika ujenzi wake kwa kuwekwa lami na makalafati ili kuweza kupitwa kwa wakati wote wa mvua za masika na vuli, kwa sasa daraja hilo limaliziwa ujenzi wake kwa kuwekwa vizuizi.
TRA PWANI YAKAMATA BIDHAA ZA MAGENDO BANDARI YA BAGAMOYO
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imekamata bidhaa mbalimbali
za magendo katika Wilaya ya Bagamoyo ikiwemo viroba 50 vya mchele, madumu
10 ya ...
10 hours ago
0 Comments