Tamasha la Jamafest 2019 linazidi kunoga huku wasanii na vikundi mbali mbali vya ngoma vikijitokeza kushiriki kwa ufasaha kwa nchi za Tanzania ambao ni wenyeji, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi. Tamsaha hilo lililoanza Sepetemba 21 linatarajiwa kumalizika Septemba 28, 2019.
TANZANIA NA CHUO KIKUU CHA LIMERICK WASAINI MAKUBALIANO YA UFADHILI WA
SAMIA SCHOLARSHIP EXTENDED
-
SERIKALI ya Tanzania na Chuo Kikuu cha Limerick cha nchini Ireland
wamesaini hati ya makubaliano ya utekelezaji wa ufadhili wa Samia
Scholarship Extended, ...
1 hour ago








0 Comments