Mchezaji wa Timu ya Chipukizi akimpitabeki wa Timu ya Mlandege, wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika katika Uwanja wa Mao. Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao.4-1.
DKT. MAULID - USIMAMIZI FANISI WA SHUGHULI ZA ELIMU NI CHACHU YA MAFANIKIO
KATIKA SEKTA YA ELIMU
-
8 Januari, 2026
Hayo yamesemwa leo tarehe 08 Januari, 2026 na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa
Maendeleo ya Uongozi wa Elimu – ADEM Dkt. Maulid J. Maulid alipoku...
3 hours ago
0 Comments