Wachezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Zanzibar wakiingia Uwanjani wakiwa wameshikilia Ngao ya Hisani ya Ufunguzi wa Ligi Kuu ya Zanzibar . mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar uliozikutanisha Timu za KMKM Mabingwa wa Zanzibar mwaka 2018 /2019 na Timu ya Malindi. kushoto Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Zanzibar na Timu ya Malindi Zanzibar Mzee Salum Nassor Mkweche na kulia mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa na Timu ya Jeshi na Ujamaa Mzee Mohammed Ahmed Mwanga.
FITCH IMEENDELEA KUIPA TANZANIA UKADIRIAJI WA B+ NA MUELEKEO WENYE UTHABITI
KATIKA UKUAJI WA UCHUMI
-
Na Mwandishi Wetu
MIRADI mikubwa ya kimkakati nchini imeonyesha tija na kuwa sehemu ya
mafanikio ya kiuchumi kimataifa.
Hilo limebaimika mwishoni mwa w...
3 hours ago
0 Comments