Ndege ya Shirika la Ndege la Qatar Air Aina ya Dreamliner 787-800 ikiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar ikiwa na Abiria 250, wakitokea Nchini Qatar,hufanya safari zake kila Siku Kati ya Qatar hadi Zanzibar.Dreamliner ni safari yake ya kwanza kuja Zanzibar. Kama inavyoonekana ikiwa katika harakati za kushusha mizigo baada ya kuteremka abiria wake na ina uwezo kuchukua Kontena.
TARI Naliendele yashauri wakulima wa korosho kufuata hatua hizi kuleta tija
uzalishaji wa korosho nchini
-
Na Anne Robi, Mtwara
WATAALAMU wa kilimo cha korosho nchini wamewaasa wakulima kuanza kuandaa
mashamba yao kwa kufuata hatua kuu tatu na muhimu katika kul...
2 hours ago
0 Comments