RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba.Mhe. Hemed Suleiman Abdalla,
alipowasili Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba leo kuaza ziara yake Kisiwani
Pemba, kushoto Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba.Mhe.Omar Othman Khamis,Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr. Abdalla Juma Mabodi na Makamu Mwenyekiti wa
UWT.Bi. Thuwaiba Editon
////RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr. Abdalla Juma Mabodi,
alipowasili Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba leo kuaza ziara yake Kisiwani
Pemba, kushoto Makamu Mwenyekiti wa UWT.Bi. Thuwaiba Editon Kisasi
WIZARA YA FEDHA :WATAALAM WA UNUNUZI ZINGATIENI DIRA YA MAENDELEO YA 2050
-
Na Vero Ignatus, Arusha
WIZARA ya Fedha imewataka wataalamu wa Ununuzi na Ugavi kutekeleza majukumu
yao kwa kuzingatia Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050 i...
29 minutes ago
0 Comments