Meli ya Zan Fist Ferres ikiwa katika bandari ya Zanzibar ikishusha abiria na mizigo na kupakia Abiria ya kwenda Pemba katika Bandari ya Malindi Visiwani Zanzibar kama ilivyokutwa na Camera yetu.
GGML Kili Challenge Yashiriki Maonesho ya Kilimanjaro Marathon 2026
-
Moshi, Tanzania
GGML Kili Challenge inayotekelezwa kupitia GGML Kili Trust, inashiriki
Kilimanjaro Marathon 2026, maarufu kama “Mbio za Watu”, kupitia ma...
1 hour ago
0 Comments