Mchezaji wa Timu ya Mpira wa Kikapu wa Rangers akimpita mchezaji wa Timu ya Stone Town wakati wa mchezo huo kuwania Kombe la Wooter Africa mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung Zanzibar Timu ya Stone Town imeibuka kwa vikapu 62 - 54.
Serikali Yatajivunia Mafanikio ya Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam
Katika Siku 100 za Uongozi wa Rais Samia
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
MSEMAJI wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Gerson Msigwa, amesema Serikali ya Awam...
8 hours ago
0 Comments