Maonesho ya Vitu vya Asili vikioneshwa wakati wa Kongamano la Tatu la Kimataifa la Kiswahili lililofanyika Zanzibar katika ukumbi wa Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar. moja ya Vitu hivyo ni jinsi ya kupamba chumba kwa vitu vya asili kikiwemo kitanda cha besera, buli la maji viatu vya magongo na sanduku la mbao.
TAFORI YAPANDA MITI YA ASILI KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA KATIKA KAMPENI YA 27
YA KIJANI
-
Farida Mangube, Morogoro
Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) leo Januari 27, 2026
imeshiriki Kampeni ya Kitaifa ya Upandaji Miti #27Yakijani ...
3 minutes ago









0 Comments