BAADHI ya wananchi wa Shehia ya Mkoroshoni Wilaya ya Chake Chake, wakiangalia majina yao katika sehemu maalumu kwa ajili ya kwenda kuchukuwa kitambulisho cha Mazanzibari Mkaazi, kama walivyokutwa na mpiga picha katika skuli ya maandalizi Machomanne.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
Serikali Yatajivunia Mafanikio ya Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam
Katika Siku 100 za Uongozi wa Rais Samia
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
MSEMAJI wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Gerson Msigwa, amesema Serikali ya Awam...
10 hours ago

0 Comments