6/recent/ticker-posts

MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA MAWAZIRI WENYE DHAMANA YA MENEJIMENTI YA MAAFA KWA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA MAENDELEO KUSINI MWA AFRIKA

Kaulimbiu ya Mkutano huu: “Kuwekeza kwenye Kupunguza madhara ya maafa ni njia bora ya kuimarisha ustahimilivu katika ukanda wa n chi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika” (SADC)

Na.Ibrahim Hamidu Afisa Habari Mwandamizi
Ofisi ya Waziri Mkuu

Post a Comment

0 Comments