Naibu Waziri wa Madini, Mhe.Stanslaus Nyongo,
akizungumza na wahariri wa Vyombo vya Habari Nchini (pichani), leo katika Ofisi
ndogo za Wizara hiyo Jijini Dar es Salaam, kuhusu mkutano mkubwa Wa Madini
utakaofanyika katika Kituo cha Mikutano Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam,
Tanzania kuanzia Februari 21 hadi 23,2020.
TCD Yaendelea Kuunganisha Vyama vya Siasa Kujadili Masuala ya Taifa
-
Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohamed Ahmed akizungumza jijini Dar es
Salaam Machi 13, 2026 katika hafla ya futari kwa Waislam na Wakristu
iliyoandali...
2 hours ago
0 Comments