Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar akizungumza na Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar na kutowa tahadhari kwa Wananchi na Jamii kwa kuhusiana na Virusi vya maradhi ya Corona, wafuate maelekezo ya kujikinga na kuepusha mikusanyiko isiyo kuwa ya lazima.
FANYENI TAFITI, TUMIENI TAKWIMU SAHIHI – WAZIRI MKUU
-
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watayarishaji wa vipindi vya
elimu kwa umma kupitia Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wahakikishe
kila wakati...
11 minutes ago
0 Comments