Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar akizungumza na Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar na kutowa tahadhari kwa Wananchi na Jamii kwa kuhusiana na Virusi vya maradhi ya Corona, wafuate maelekezo ya kujikinga na kuepusha mikusanyiko isiyo kuwa ya lazima.
TRA MOROGORO YATUMIA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE KUTOA ELIMU YA KODI
-
NA FARIDA MANGUBE , MOROGORO
Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, mamlaka ya mapatao Tanzania
(TRA) Mkoa wa Morogoro imetumia maadhimisho hayo kut...
4 hours ago
0 Comments