Wasamaria wakimsaidi mjasiriamali aliyepata ajali ya kuanguka na pikipiki yake akiwa na tenga la mikate mkatika makutano ya barabara ya mkunazini na michezani kama wanavyoonekana wakiwa katika zoezi hilo, ajali hiyo imetokea juzi mpanda pikipiki huyo hajapata madhara katika tukio hilo la ajali.
WATUMISHI WA TEA WAAGIZWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KWA UFANISI.
-
Dkt. Edith Rwiza Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia akiongea na Wajumbe wa Baraza
la Tatu...
1 hour ago

0 Comments