6/recent/ticker-posts

KIGODA ATETEA KITI CHAKE JIMBO LA HANDENI MJINI

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Handeni mjini Omary Kigoda akirudisha fomu jana kwenye ofisi ya CCM wilayani humo, kulia ni Katibu wa UWT wilaya Aisha Mpuya, Kigoda amewania tena nafasi hiyo kutetea kiti chake.
PICHA: HAMIDA KAMCHALLA.

Post a Comment

0 Comments