Mshambuliaji wa Timu ya Malindi akimpita beki wa Timu ya Zimamoto wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika uwanja wa Mao Zedong. Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungani 0-0.
WAHITIMU TaSUBa WAHIMIZWA KUILINDA AMANI YA TANZANIA
-
Na MWANDISHI WETU, Bagamoyo
WAHITIMU wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), wamehimizwa
kuilinda amani nchini.
Akizungumza katika Mahafali ya...
12 hours ago
0 Comments