6/recent/ticker-posts

Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar Kati ya Jangombe Boys na Machomane Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Jangombe Boys Imeshinda Bao 3-1.

Mchezaji wa Timu ya Machomane akijaribu kuzuiya mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong jana, huku mchezaji wa Timu ya Jangombe Boys akijiandaa kumzuiya. katika mchezo huo Timu ya Jangombe Boys imeshinda bao 3-1.








Post a Comment

0 Comments