Wananchi wa Jiji la Dodoma wakiwa katika harakati za kujipatia nguo katika mnada wa Soko maarufu la Mnadani kama walivyokutwa na mpiga picha wetu akiwa katika matembezi mkoani huo hivi karibuni.
SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH –
MISANGA
-
Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia
mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa
pamoja ka...
7 hours ago
0 Comments