Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe Jaji Mkuu Mstaaf Hamid Mahmoud Hamid akimkabidhi Fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar Mgombea Urais kupitia Chama cha Wakulima (AFP) Mhe. Said Soud, alipofika Ofisi za Tume Maisara Jijini Zanzibar kwa ajili ya uchukuaji wa Fomu.
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
10 hours ago

0 Comments