Muonekano wa Jengo la Kisasa la Maduka Michezani Mall Jijini Zanzibar likiwa katika hatua za mwisho umaliziaji ujenzi wake kwa ajili ya ufunguzi na kutowa huduma za kibiashara mbalimbali kwa Wananchi wanapofika katika jengo hilo litakalokuwa na maduka mbalimbali ya bidhaa tafauti.
“WCF, NIT Waungana Kupunguza Ajali Barabarani na Kulinda Nguvu Kazi ya
Taifa”
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dkt. John Mduma,
amesema kuwa ushirikiano kati ya WCF na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji
(NIT) u...
1 hour ago
0 Comments