Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bila la Taifa Tanzania Dkt.Irehema Doriye akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi laki tano Mchezaji Bora wa Mchezo wa nusu Fainali Michuano ya Kombe la Ma;pinduzi Cup Mzamiru Yassin, baada ya kuibuka mchezaji bora katika mchezo huo kati ya Simba na Namungo uliofanyika Uwanja wa Amaan Jana Usiku 11/1/2021.
SOKO LA SAMAKI KATORO LAKOSA MIONDOMBINU YA MAJI TAKA
-
Wafanyabiashara wa soko la CCM katika mamlaka ya mji mdogo wa Katoro
halmashauri ya wilaya ya Geita wamelalamikia uhaba miundombinu ya
kutiririshia maji ...
1 hour ago
0 Comments