Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na Uongozi wa Kijiji cha Watoto SOS Mombasa Zanzibar alipowasili katika Kijiji hicho kwa ajili ya kuwatembelea Watoto na kutoa Mkono wa Eid. kwa Watoto hao hapo jana Mei 14, 2021.
JAFO EDUCATION FOUNDATION YAFADHILI VIJANA 51 KUSOMA CHUO CHA FDC KISARAWE
– MZENGA
-
Na.Mwandishi Wetu
Taasisi ya Jafo Education Foundation imefadhili jumla ya vijana 51 kusoma
katika Chuo cha FDC Kisarawe - Mzenga, kwa lengo la kuwawe...
16 hours ago
0 Comments