Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Hurumzi wakiwa katika mapunziko ya asubuhi baada ya kumaliza Mitihani yao ya majaribio na kujisomea kwa kujiandaa na mtihani wa Kiswahili baada ya mapunziko wakiwa nje ya jengo la skuli hiyo kama walivyokutwa na mpiga picha weti akiwa katika mizunguko ya mitaani.
Kutoka Kuni Hadi Viazi: Mohammed Aibuka Mshindi wa Boda Boda ya PigaBet
-
• Ni muuza wa kuni, maji na viazi aliyeshinda boda boda ya PigaBet
Dar es Salaam — Kuna watu wanaotafuta kazi. Halafu kuna watu ambao kila
siku wanajiten...
51 minutes ago




0 Comments