Waziri wa Nchi ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar Mhe Jamal Kassim Ali akizungumza na kutowa maelekezo kwa watendaji wa Wizara yake wakiwa nje ya ukumbi wa mikutano ya Baraza la wawakilishi mara baada ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kupitisha Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022
SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH –
MISANGA
-
Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia
mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa
pamoja ka...
10 hours ago
0 Comments