WANANCHI kutoka shehia mbali mbali Kisiwani Pemba, wakisoma kwa makini barua zao walizopewa na Jumuiya ya PECEO kwa ajili ya kwenda kuombea hati za umiliki wa viwanja au mashamba na maeneo mengine, ili kuwa wamiliki halali wa vitu hivyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
TAFORI YAONGOZA HATUA ZA UANZISHWAJI WA JUKWAA LA WADAU WA UYOGA TANZANIA
-
Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) kwa kushirikiana na Shirika
la ADAP (Association for the Development of Protected Areas) imeongoza
hatua z...
1 hour ago
0 Comments